Usikose Hizi Hapa

HABARI PICHA ; TAZAMA MAFURIKO YALIVYIKUMBA BUKOBA MAPEMA LEO

Mafuriko yameikumba Bukoba mjini leo kuanzia majira ya saa mbili asubui kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kwa kufunika  na kuzunguka baadhi ya nyumba zilizopo maeneo ya Nyakanyasi na Darajani Sokoni na sehemu nyinginezo.







Hata hivyo chanzo cha habari kimetujuza kuwa hakuna mtu aliyepoteza maisha zaidi ya familia kupoteza mali zao

No comments