Usikose Hizi Hapa

Quick Rocka aikubali Hallelujah ya Diamond, ‘hakuna mwingine atatokea avunje recodi hii’


Msanii wa muziki Bongo, Quick Rocka ametoa pongezi za kutosha kwa Diamond kufikisha kwa kufikisha views milioni moja ndani saa 15 katika mtndao wa YouTube.
Quick Rocka ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Still’ametumia ukurasa wake wa Instagram kutoa pongezi hizo na kueleza kuwa hatua hiyo ni recodi ambayo ni vigumu kuja kuvunjwa.
“Big shout out to Diamond, Hallelujah is dope tone, wewe mwenyewe umeua!, umeua!!, you know am say, so I appreciate good work bro, and the video is a movie , so big shout out to you,” amesema Quick.
“One million views in 15 hours that’s a record ujue hakuna mwingine atatokea avunje recodi hii ni ngumu sana kuvunjika, salute bro” amesisitiza.
Wimbo wa Diamond Hallelujah ulitoka September 28, 2017 ambao amewashirikisha Morgan Heritage hadi sasa katika mtandao wa YouTube una views 1,562,865.

No comments