Usikose Hizi Hapa

VIDEO: RAIS MAGUFULI APIGA MARUFUKU MICHANGO SHULENI

Rais Dkt. John Magufuli leo Januari 17, 2018 amepiga marufuku aina yoyote ya michango katika shule za Serikali za msingi na Sekondari na kuwaagiza waziri Suleiman Jaffo na Waziri wa Elimu Profesa Joyce Ndalichako kusimamia hilo.

==Msikilize hapo chini

No comments