Usikose Hizi Hapa

Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kwa Waziri Mwakyembe


Kufuatia kifo cha Mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe, Linah George Mwakyembe, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi Waziri Mwakyembe na familia yake kwa ujumla.

Soma Taarifa zaidi hapa chini

No comments